KITENDAWILI KIGUMU: NI MSICHANA YUPI AMETUMIA HEKIMA? + ZAWADI IPO

 *NGOJA NIKUPE KAZI YA AKILI 👇* 


Leo tunacheza na ubongo kidogo mkuu. Hiki ni kitendawili kilichowashangaza watu 25,000+ Instagram. 



*SWALI LA LEO:* 


> Wasichana wa 3 walikuwa wanaoga sehemu moja, ghafla akatokea mvulana mmoja. 

> Msichana wakwanza akaficha matiti yake,  

> Msichana wa pili akaficha uchi wake,  

> Na wamwisho akaficha uso wake. 

> *Je, ni msichana yupi kati ya hao ametumia hekima?* 


Fikiria kwa sekunde 10 kabla hujaendelea kusoma... 


--- 


*MAELEZO YA HEMKIMA:* 


Watu wengi wanakosea hapa. Wanaangalia aibu tu. 

Lakini hekima si kuficha mwili. *Hekima ni kujilinda kwanza.* 

--- 


*ZAWADI IPO KWA MSHINDI 🎁* 

Kama utajibu sahihi.

*Comment hapa chini:* 

1. NI MSICHANA NAMBA NGAPI KATI YA 3

2. Acha jina lako la WhatsApp. Nitakuchagulia zawadi ya PDF `Vitendawili 50 Vigumu vya Hekima` bure. 


*PS:* Share blog hii kwa rafiki yako 1. Tumwone kama ana akili au la 😂 


*Tags:* #vitendawili #hekima #maswali #akili #maisha #tanzania #ukwelimchungu 


---

Comments

Popular posts from this blog

CHUKUA ELFU 50,000: SIRI YA KUTOFANIKISHA MAISHA YAKO

ULIISHA ACHWA KISA HUNA PESA? HII NDIO SABABU MWANAUME TAJIRI HAACHIKI.

SPY NA BOSS WA MILLION 5: SOMO LA KIKATILI KUHUSU KUJIAMINI, KAZI NA THAMANI YAKO